Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Mungu ndie mgawa riziki ko usijisumbue kwenda kwa waganga kwaaajir ya kuziba riziki yangu unajisumbua nibora ukakaa ukatathimin kwamba mbona mwenzangu kafanikiwa ko njoooo nikupe siri ya mafanikio sio kwenda kwa waganga
Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Furaha yngu nimuonapo ana smile
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku..
Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro
If my mother is not happy with
Me being in her house,she must
Move out,I’m in my mothers house,
She must go to her mother’s house
Mongwe Le Mongwe Ga Mmagwe!