Hii upuzi ya unauliza dame 😂
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴
Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice