Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfewπππ
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy ππ
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribeπππ
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
π
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge ππ