Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏
Vile unataka
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 hatupendi ujinga
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako