Nampenda bwana yesu Sikh zote za maisha yangu kwani yeye ndiye mwenye kunipendeza na hakuna mwingine zaidi yake katika maisha yangu. Ahsante yesu kwa kunijalia afya njema ,kunikinga na na maradhi kuniepusha dhoruba za dunia hii na uzidi kuendelea kuniepusha tena na tena mpaka hapo utakapo niita baba yetu .ahsante baba kwa ridhiki unayonijalia kila siku, bariki mazao yangu ya shamba pia bariki biashara yangu iwe na Wateja wengi na I we endelevu,naomba ktk jina la yesu amina
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Maisha ni safari ndefu mnoo
Ainaga kipimo ata siku moja
Tunachopaswa kufanya ni
Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi,
I luv Uganda. God z good
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.
Kupata picha kali kali za madada wa kike ambao watanifurahixha nataka kujiunga na group
–
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa