Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula πππππ
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise
Dame:Babe nko na ball
Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise
Dame:si ivoπnko nimebemba
Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie…
Dame:Nktπ
acha kujifanya huelewi
Boyie:Bydah nani alikubuyia..??na mbona hukunxhw nikubuyie?… Dats means unancheza…. Wacha tu tuachane peacefuly…
Dame:Aky babe namaanxha nko pregnant….
Boyie:Ulitoa wapiπ±π…
Dame:Ni yakoππππ
Boyie:ππππππππππππnlitaka ivo coz uliwa unaniringia… RINGA SASA TUONE
Dame:sawa tu….ππππππππ
π
π’π’π±π±π±π±π±??????
Boyie:Naga nima ndukoragwa na mutwe mwega
Dame:Onawe thii okiomaga
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU,
inabidi uombe maji ya kunywa…
Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Niniπ€£
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET??
Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule msee nilikuwa nafua hapo nje
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao