Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣
Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!