Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui๐๐๐๐๐๐
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai ๐
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana ๐ญ
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini ๐
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. ๐๐๐๐๐
Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…
Ona sahii we ndio huyo masikini๐๐๐
*What goes around comes around๐
Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)๐
Haujaenda mjengo๐
Haujafanya promotion ya nodules ama simu๐ฉ๐ซ
Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku ๐
๐
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle๐
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
Form fours are like posting *”stress is over”*๐tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike๐
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani๐คฃ๐๐คฃif you know you know
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni muturaโน
MIMI KAMA SIMU YAKO
Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel aje? Alafu ukiamka asubuhi plz brush mdomo kabla unitumie…wewe huwaga unanuka mdomo ni vile sitaki kukuambia! Then kuna ile siku uliniweka credit bamba 5 hio siku uliniudhi! Huoni ni aibu hio lakini nikanyamaza tu..Saa zingine we huenda na mimi chooni! Hio ni heshima kweli?