Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,πππππππ bisha Tu mlango ntakuskia nanii
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mineπ
January imefika wale shamba boy mulikwa ushago mwende Nairobi kufiyeka mboma zatu huko Una enjoy girl friend wako beb Niko busy kwa Office ww
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.
Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
List of names to avoid this festive season
Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo
1. Mkubwa
2. Tajiri yangu
3. Mzito
4. Mtu wangu
5. Chief
6. Chairman
7. Boss yangu
8. Babe
9. Sweet heart
10. Heheheee my lost Fren.
11. Boss.
12. Muuuuutunguyaz.
13. Buuuuda.
14. Niaje mzeiya.
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twaπ
Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bobπ€£π€£π€£