karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Hii upuzi ya unauliza dame π
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini whyπ₯΄
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugiππ
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesaπ²π€£ππππ€π
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Kama Adam na Eva walikula π apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako